Kuna jamaa alifutwa kazi.....ikawa kila siku asubui anaenda kunya mlango wa mbele kwa boss wake......ikiwa hivi
Boss: mbona unakuja kunya mlangoni kwangu?
Jamaa:nataka kukuonyesha silali njaa????😅😅😅😅😅
Boss: mbona unakuja kunya mlangoni kwangu?
Jamaa:nataka kukuonyesha silali njaa????😅😅😅😅😅
Comments
Post a Comment