Hapana chezea bangi:
Sikumoja mvuta bangi kaopoa dem usiku kwenda geto kumbe dem jini mara katoka pembe za mbuzi mara kwato mara kalia kama fisi mvuta bangi anamwangalia tu huku anavuta bange apate stimu mara dem kageuka chatu nkasikia mvuta bangi akamwambia we fanya mazingaombwe yako ila lazma nkutupie tatu za nguvu ngoja nimalize bange yangu kwanza jini kuskia hivyo akaomba kwenda chooni????????????????😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆

Comments